Header Ads

LightBlog

MNC-LUMUMBA YAJIANDAA KWA UCHAGUZI

VIONGOZI WA MNC-L KIVU WAJIANDAA MAPEMA


Naibu Katibu Mkuu wa Mouvement National de Congolais (MNC-Lumumba), Venance W’ialango (katikati) akilakiwa na Mwenyekiti wa MNC-Lumumba mkoa wa Kivu, Ramadhani Lumumba Mulezi (kulia) mara baada ya kuwasili katika Jimbo la Fizi tarehe 20 Mei 2008. Kushoto ni Naibu Mwenyekiti Antoine Lulacha.




Naibu Katibu Mkuu wa Mouvement National de Congolais (MNC-Lumumba), Venance W'ialango akiwa na viongozi wa MNC-L mkoa wa Kivu hivi karibuni, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC). Hapa ni katika jimbo la Fizi wakipanga mikakati ya maandalizi ya chaguzi za ubunge na urais nchini humo za mwaka 2010.

Kutoka kushoto ni Dieu-donne Kashindi (Katibu Mwenezi/uhamasishaji), Antoine Lulacha (Naibu Mwenyekiti wa mkoa wa Kivu, Venance W’ialango (Naibu Katibu Mkuu MNC-L Taifa), Ramadhani Lumumba Mulezi (Mwenyekiti wa Mkoa), Jean Pierre Ngeza (Katibu wa Mkoa), Kulenga Kambi (Mshauri Masuala ya Siasa), na Lukele Bakwela (Mshauri masuala ya Uchumi).

No comments

Powered by Blogger.