Header Ads

LightBlog

Porojo za Msajili John Tendwa

JOHN Tendwa, Msajili wa Vyama vya Siasa ambaye ni mwajiriwa wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), hupenda kutishia kufuta vyama vya siasa.

Mwandishi wa habari, Mwangosi alipouawa akiwa mikononi mwa polisi, Tendwa alitishia kufuta vyama "vinavyosababisha mauaji." Polisi wanaotuhumiwa kuua mwandishi ni wa serikali ya CCM. John tendwa hajafanya lolote. Yeye hutumika kuhalalisha au kutetea waliompa ofisi. Amekaa kimya mpaka Saidi Michael akamwona.

Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu! 

No comments

Powered by Blogger.