Header Ads

LightBlog
Kwa miezi mitatu mfululizo, blogu yangu ilikuwa na matatizo ya kupokea makala na stori zangu. Sijajni nini hasa. Leo imekubali. Kesho naanza kazi ya kupakulia humu. Karibu. Edelea kuwa nami katika kujenga hoja.

ndimara
32 Aprili 2010

2 comments

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Mimi ni mmojawapo wa wasomaji wako makini ambao nilisikitishwa na kupotea kwako. Karibu tena ulingoni!

ELVAN STAMBULI said...

Mbona hakuna kipya mzee. mimi stambuli- uwazinewspaper

Powered by Blogger.