Friday, April 4, 2014

BALAA LA MVUA, RADI NA UPEPO KAMACHUMU



Balaa lililowakumba wakazi wa Bulembo, Kamachumu wilayani Muleba. Wiki iliyopita mvua kubwa ya mawe - hailstorm - iliyoambatana na upepo iliangusha miti, migomba,kubatua mihogo na viazi; na kuezua nyumba katika kata ya Bulembo wilayani Muleba. Kaya zipatazo 800 katika eneo lote lililokumbwa na janga zinahitaji msaada wa chakula na karibu nusu ya hizo zinahitaji makazi. Wataalamu wanasema ni matokeo ya kuwepo "mawingu ya radi" yaliyo karibu na ardhi (cumulonimbus clouds) na kile ambacho wameeleza kuwa hutokea ziwani tu na hata kwenye mito mikubwa (na siyo baharini), ambacho Wahaya huona kinafanana mtu aliyesimama kwa mguu mmoja - "Mugasha" - waterspout! Tuwape pole. Tuwape msaada.

A TEST TO FREEDOM OF EXPRESSION


 

BELIEVE IT OR NOT:
 
In the midst of the debate on two or three-tier government, MAWIO - a weekly newspaper in Tanzania, published this cartoon. Now the Registrar of Newspapers - MAELEZO - has, through a written communication, queried MAWIO for publishing the cartoon; saying it is either demeaning or insulting. Now the editor has to show cause "why he should not be brought before the law" - a la Tanzania - the law in hands of authority and not in court of law.


Link: www.ndimara.tegambwage.facebook.com