Friday, April 23, 2010

Kwa miezi mitatu mfululizo, blogu yangu ilikuwa na matatizo ya kupokea makala na stori zangu. Sijajni nini hasa. Leo imekubali. Kesho naanza kazi ya kupakulia humu. Karibu. Edelea kuwa nami katika kujenga hoja.

ndimara
32 Aprili 2010

2 comments:

  1. Mimi ni mmojawapo wa wasomaji wako makini ambao nilisikitishwa na kupotea kwako. Karibu tena ulingoni!

    ReplyDelete
  2. Mbona hakuna kipya mzee. mimi stambuli- uwazinewspaper

    ReplyDelete