Friday, April 23, 2010
Kwa miezi mitatu mfululizo, blogu yangu ilikuwa na matatizo ya kupokea makala na stori zangu. Sijajni nini hasa. Leo imekubali. Kesho naanza kazi ya kupakulia humu. Karibu. Edelea kuwa nami katika kujenga hoja.
ndimara
32 Aprili 2010
‹
›
Home
View web version